Posts

UGONJWA WA KISUKARI

Image
  JUA UGONJWA WA KISUKARI,CHAZO CHAKE,DALILI NA TIBA YAKE Posted on: April1 2023 Magonjwa yasiyo ya kuambukiza ni magonjwa ambayo hayasambazwi kwa mtu mwingine kwa kuwa hakuna vimelea mwilini vinavyohusiana na magonjwa hayo. Magonjwa yasiyo ya kuambukiza ni kama ya moyo na mishipa ya damu, figo, saratani, kifua sugu, kisukari, magonjwa ya akili na mengine ya kurithi kama vile ugonjwa wa  Kwa mujibu wa taarifa ya Mfuko wa Bima ya Afya, athari ya magonjwa yasiyoambukiza ni mara nne zaidi ya watu waliopo mijini kuliko vijijini, huku asilimia 12.8 ya wanaougua wakiwa wako mijini na asilimia 3.1 wako vijijini kutokana na mfumo wa maisha. Uchunguzi mwingine uliofanywa na jopo la madaktari bingwa kuanzia mwaka 2011 hadi 2014 ulibaini asilimia 79 ya watanzania wazee waligundulika kuugua magonjwa ya kisukari, macho na shinikizo la damu. Pia walidai magonjwa hayo yamekuwa kikwazo cha maendeleo kutokana na kuwasumbua wazee na hata wenye umri wa kati ya miaka 40 na 50. Kisukari ikiwa ni moja ya mu

dr.mwakatobe

THE USE OF MOSQUITO NETS

Image
 Malaria is  a life threatening disease caused by a parasite called plasimodium which is transferred from one person to another through female mosquitos,Hence mosquitos are the insects responsible for the spread of malaria    Currently there are more than 100,000 reported cases of malaria in Kinondoni district and Kinondoni district has shown the largest number of reported cases of malaria in Dar es salaam.hence the dwellers of kinondoni are at high risk of getting or even dying from malaria if measures are not taken The most effective measure to prevent malaria is the use of mosquito nets that prevent mosquitos from biting us as we sleep     FACEBOOK!! Elena can use "facebook" as one of types of web 2.0 in promoting the use of mosquito bed nets.This is because most of the people have enrolled themselves in facebook accounts, this will help most of the people to get the information from Elena. On top of that facebook, the massive social networking site, has become a critical